current location : Lyricf.com
/
Songs
/
Tujiangalie lyrics
Tujiangalie lyrics
turnover time:2025-05-02 07:06:41
Tujiangalie lyrics

Barua toka Jaramogi na Kenyatta

Wanauliza kama Kenya kuko sawa

Nikawajibu Kenya tuko na disaster

Watoto wetu wanazidi kuzikana

Na Tom Mboya ameshika tama

Alituacha kama angali kijana

Je, angekuwa mambo yangekua sawa?

Ndivyo alivyopanga maulana

Deni mlizowacha bado tunalipa (tunalipa)

Na tumekopa zingine China

Tukajenga reli pia barabara

Zilizobaki watu wakasanya

So tujiangalie (tujiangalie)

Tuko pabaya leo kuliko jana

Sikio la kufa halisikii dawa

Tuko kwa twitter tuna jibizana

Tujiangalie (tujiangalie)

Tuko pabaya leo kuliko jana

Tusipo ziba ufa tuta jenga kuta

Tusake zetu tungali vijana

Waumini kwa mathree na passie kwa bimmer

Kushoto fungu la kumi sadaka kulia

Ndio maana mbele ya kanisa mheshimiwa

Anakula sacramenti kabla ya raia

Siku za mwisho zime shawadia

Na revelation inatuambia

Hii generation inachoma picha

Ni generation yetu

So tujiangalie (tujiangalie)

Tuko pabaya leo kuliko jana

Sikio la kufa halisikii dawa

Tuko kwa twitter tuna jibizana

Tujiangalie (tujiangalie)

Tuko pabaya leo kuliko jana

Tusipo ziba ufa tuta jenga kuta

Tusake zetu tungali vijana

Michuki alisema, 'tufungeni mikanda'

Ona leo twavuna tulicho panda

Kura zetu zilitugawanya

Makabila na pesa pia tulimanga

So when you make your bed oh1

(You lie on it ohh!)

Usingizi gani tumelala?

Tuta jua hatujui

Vision 2030 itabaki ni story

Tujiangalie (tujiangalie)

Tuko pabaya leo kuliko jana

Sikio la kufa halisikii dawa

Tuko kwa twitter tuna jibizana

Tujiangalie (tujiangalie)

Tuko pabaya leo kuliko jana

Tusipo ziba ufa tuta jenga kuta

Tusake zetu tungali vijana

Nyashinski

Mdosi aliniambia freedom never comes for free

We vote tribe, ama real cash, ask Boni

Tuna roho mahali hamwezi Ita gsu plus doggy

World mzima twitter KOTndio first body

Burn picha si ni waafrika black coffee “Annan”

I’m richer than my neighbor but we both in the slum

If the rich always win why should the popular run?

Unless "democracy" ni word si usema only for fun

Tujiangalie (tujiangalieee)

Uh, na hii weekend tuko church tunauza sura kabisa

Post ya haga huenda poa sana na caption ya scripture

Kaa hiyo gospel pitisha bag ya sadaka kwa club

Yeeeah (tujiangalieee)

Uh, traffic madrug ubuy ndai, traffic mandai zinadrag

Ku admire mwizi amemake it, story za shamba wamegrab

Mkono nahonga imevaa bracelet ya colors za flag

Yeah!

1. Unapotandika kitanda chako, unakilalia

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Sauti Sol
  • country:Kenya
  • Languages:Swahili, English
  • Genre:Folk
  • Official site:http://sauti-sol.com/
  • Wiki:http://en.wikipedia.org/wiki/Sauti_Sol
Sauti Sol
Latest update
Copyright 2023-2025 - www.lyricf.com All Rights Reserved