current location : Lyricf.com
/
/
Muongo lyrics
Muongo lyrics
turnover time:2024-06-02 15:36:41
Muongo lyrics

This is Barnaba Boy Classic

Mocco Genius, Naa (Mocco)

Masikini mimi moyo wangu pasu pasu

Kwani nilivyompenda singefanya machafu

Penzi kanichimba chimba kama viatu

Yaani bila huruma akatupa na watatu

Kwake niliwekeza upendo

Ye hakuwa na malengo

Penzi akaweka na pengo

Kupenda shida kabisa

Kama mtu kung'oa utumbo

Akapunguza upendo

Akaninyima na tendo

Nifanye nini nimechoka?

Raha ya kitandani, muwe wawili

Mgusane gusane yenu miili

You lie me everyday

Kumpenda kosa jamani

Akanifanya hayawani

Kwa kuniacha njiani

Masikini kumbe penzi langu bure

Muongo, muongo, muongo

Kumbe muongo

Muongo, muongo, muongo

Kanisave kaka eh

Muongo, muongo, muongo

Visa biza bina wanichora

Muongo, muongo, muongo

Kumbe muongo

Aaah, aah, aah

Acha kulilia pendo maana ushenzi

Kila siku wanazaliwa dada

Wanazaliwa kaka

Ridhiki mafungu saba

Ikizidi na nne bahati

Na bahati hujaga kwa nyakati

Walahi

Kwake niliwekeza upendo

Ye hakuwa na malengo

Penzi akaweka na pengo

Kupenda shida kabisa

Kama mtu kung'oa utumbo

Akapunguza upendo

Akaninyima na tendo

Nifanye nini nimechoka?

Raha ya kitandani, muwe wawili

Mgusane gusane yenu miili

You lie me everyday

Kumpenda kosa jamani

Akanifanya hayawani

Kwa kuniacha njiani

Masikini kumbe penzi langu bure

Muongo, muongo, muongo

Kumbe muongo

Muongo, muongo, muongo

Kanisave kaka eh

Muongo, muongo, muongo

Visa biza bina wanichora

Muongo, muongo, muongo

Kumbe muongo

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Barnaba
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English
Barnaba
Barnaba Featuring Lyrics
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved