current location : Lyricf.com
/
/
Baba Lao lyrics
Baba Lao lyrics
turnover time:2024-06-02 18:54:47
Baba Lao lyrics

It's S2kizzy baby

Ayolizer

Dangote baba lao (baba lao)

Simba baba lao (baba lao)

Chibu baba lao (baba lao)

Mondi baba lao (baba lao)

Eeeh Zombie baba lao (baba lao)

Magufuli baba lao (baba lao)

Makonda baba lao (baba lao)

Wasafi chama lao

Ngoma kwa ngoma ni kopo kopo

Leo ndani twakesha popo

We utasambazia moko moko

Moja baridi moja moto

Mmechoka eti? (aaah wapi)

Mnataka lala? (aaah wapi)

Tungi limezidi? (aaah wapi)

Tuzime muziki? (aaah wapi)

Sasa twende kisa mjini sambamba

Hapo vipi inabamba

Inogile inatamba

Basi chanika msamba eeh

Wataweza kweli? (aaah wapi)

Kushindana nasi (aaah wapi)

Hata wakiungana (aaah wapi)

Matusi kututukana (aaah wapi)

Dangote baba lao (baba lao)

Simba baba lao (baba lao)

Chibu baba lao (baba lao)

Mondi baba lao (baba lao)

Eeeh Zombie baba lao (baba lao)

Magufuli baba lao (baba lao)

Mwakiembe baba lao (baba lao)

Wasafi chama lao

Majib Selema

Hadija Selema (Selema)

Mwambie nyangema

Ni shimo ametema (ametema)

Amefosi bifu mseleleko

Eeeh tumemkwepa

Amebaki masononeko

Eeeh wanamcheka

Kwanza kunja gaju (eeh kunja gaju)

Kisha vua shati (eeh vua shati)

Cheza kama monkey aiii

Vunja ukidaki danki

Eeh tumewachapa (Kidude)

Hakichomoki (Kidude)

Kimewanasa (Kidude)

Wanatapatapa (Kidude)

Chizi karogwa tena

Chizi chizi karogwa tena eeh

Chizi karogwa tena

Chizi chizi karogwa tena eeh

Chizi karogwa tena

Chizi chizi karogwa tena eeh

Chizi karogwa tena

Chizi chizi karogwa tena eeh

Dangote baba lao (baba lao)

Simba baba lao (baba lao)

Chibu baba lao (baba lao)

Mondi baba lao (baba lao)

Eeeh Zombie baba lao (baba lao)

Magufuli baba lao (baba lao)

Majaliwa baba lao (baba lao)

Wasafi chama lao

Shuka ukipanda

Na hili shati navua (acha uongo)

Shuka ukipanda

Na hili bukta navua (acha uongo)

Jamani navua (acha uongo)

Mama navua (acha uongo)

Mwenzenu navua (acha uongo)

Eeeh kuna BASATA!

Basi napiga Yope (huwezi)

Oooh napiga Yope (huwezi)

Yogo napiga Yope (huwezi)

Mimi napiga Yope (huwezi)

Eeh! Eeh! Eeeh! Eeeh!

Eeeeeh!

Eh! Eh! Eh! Eh Eh

Eeeh!

Tale napiga Yope (huwezi)

Mi napiga Yope (huwezi)

Momo napiga Yope (huwezi)

Fumbwe napiga Yope (huwezi)

Eeh! Eeh! Eeeh! Eeeh!

Eeeeeh!

Eh! Eh! Eh! Eh Eh

Eeeh!

Comments
Welcome to Lyricf comments! Please keep conversations courteous and on-topic. To fosterproductive and respectful conversations, you may see comments from our Community Managers.
Sign up to post
Sort by
Show More Comments
Diamond Platnumz
  • country:Tanzania
  • Languages:Swahili, English, English (Nigerian Pidgin), Lingala
  • Genre:Folk
Diamond Platnumz
Copyright 2023-2024 - www.lyricf.com All Rights Reserved